Showing posts with label Bongo Gossip. Show all posts
Showing posts with label Bongo Gossip. Show all posts

Saturday, August 15, 2015

ThePicture of Diamond Platnumz wearing a Min Skirt Has Drew Much Negative Comments, See Them Here


This Picture that Diamond Platnumz had recently posted on Instagram has drew so much Attention and Negative Comments, among those who criticize Diamond for wearing a min skirt are these:-
"grace_kalinga: @gloryaziza huku wapi kwan ulikoniita??? Haha haha haha haha dunia Ina mambo had nataman mungu angefuta kifo niendelee kuona vtuko vya dunia"
Read More

Nora warns Artists not being Used by Politicians


Bongo Movies Actress Nuru Nassoro has steped Out to warn Fellow Artist not to warned by Politicians during these times of Election and Campaigning because she knows they will dump them when all this is over.

"I'm suprised why we cant see our value and let them use us like this" She Added


Read More

VIDEO - Esma Platnumz Doing Some Workouts In the Gym, Diva Get Ready.


Watch this Amazing Vido Showing Diamond Platnumz Sister Esma Platnumz doing some work Outs in the gym, she has been in the beef recently with Diva the Presenter accusing her Fl*rting with her husband Petitman.
Read More

Monday, August 3, 2015

Zari Awapiga ‘Stop’ Ndugu wa Mwanamuziki Diamond Platnumz


Stop! Wakati akisubiriwa kujifungua muda wowote, mwandani wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anadaiwa kuwazuia baadhi ya ndugu wa jamaa huyo kuingia kwenye chumba maalum kilichoandaliwa ili kuepuka kisiingie vumbi na kiwe safi wakati wote.

Chanzo chetu ambacho ni mmoja wa ‘memba’ wa familia hiyo kilipenyeza kuwa, kwa sasa nyumbani kwa mwanamuziki huyo maeneo ya Madale-Tegeta, Dar, wana bashasha wakimsubiria mtoto huku chumba hicho kikiwekewa uangalizi mkubwa.
“Yaani Zari hataki mchezo kabisa na haruhusu mtu kuingia chumbani humo hovyo kwa sababu ya kuepuka vumbi kwa mtoto kwa maana chumba hicho hakihitaji msongamano wa watu wengi,” kilisema chanzo hicho.

Mpashaji huyo aliweka wazi kuwa, Zari alitia ngumu na kusema ni sheria aliyoiweka mwanamama huyo na haitakiwi kukiukwa na mtu yeyote kwa kuwa wanafahamu fika kuwa chumba cha mtoto hakihitaji msongamano wa watu hivyo ndugu hao imebidi wawe wapole.
Kilidai kwamba, kwa sasa kila mtu anayefika nyumbani hapo anahojiwa na kwamba kama siyo ndugu wa ndani zaidi kwenye familia haruhusiwi hata kuingia getini.Akizungumza na Ijumaa Wikienda kuhusu maandalizi hayo, Diamond alisema kila kitu kipo sawa na kwamba, anamuomba Mungu mambo yaende kama alivyopanga.
Read More

Nuh Mziwanda Ajiweka Pabaya Baada ya Kumtongoza Wema Sepetu ambaye alimrekodi na kuiachia Clip yake.


YELEUWIII! Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie

Nuh kajipambanua ileile. Kaimbisha mistari yote ya kimahaba, utafikiri alikaririshwa. Alijitahidi kushusha vesi tamu ili  kumuingiza Wema kwenye himaya yake. Huwezi amini jamaa alizidisha mbwembwe kiasi cha kumwambia amkubalie kwani hamtaki Shilole tena.

WEMA AMTOSA
“Wema amesikika akikataa, akamwambia hawezi kuwa naye kwani ni shemeji yake na anamheshimu Shishi,” kilisema chanzo hicho.

SHILOLE AMFUATA NUH
Chanzo hicho kilieleza kuwa, baada ya kuusikiliza ujumbe huo, Shilole alimfuata Nuh kwa ajili ya kumsikilizisha lakini Nuh alijibu ‘mbovu’ ndipo Shilole alipomuomba ufunguo wa gari waliyokwenda nayo, akarudi alipokuwa amekaa awali.

APOTEZA ‘NETIWEKI’
“Aliporudi alipokuwa amekaa, Shilole alijikuta akiishiwa nguvu na kuzimia ambapo Aunt Ezekiel na kina JB (Jacob Stephen) walipofanya kazi ya ziada kumpepea, huku wengine wakihangaika kummwagia maji kunusuru afya yake.
“Walifanikiwa kumpandisha kwenye gari lake. Joto lilikuwa kubwa kufuatia hali hiyo maana kila mtu alishindwa kuelewa kilichotokea, hivyo Shilole, baada ya kuzinduka aliulizwa kilichomfanya azime ambapo aliwasikilizisha sauti hiyo kila mmoja akabaki ameduwaa,” kilieleza chanzo.

AUNT AOKOA JAHAZI
Ilielezwa kuwa, mwigizaji Aunt Ezekiel ndiye aliyeokoa jahazi kwa kulazimika kuendesha gari la Shilole na kumpeleka nyumbani huku Nuh akipandishwa kwenye gari la JB kumpeleka kwa ndugu zake.
MSIKIE SHILOLE
Paparazi wetu, baada ya kupenyezewa ubuyu huo, alimtafuta Shilole ili kupata habari kamili ambapo alikiri kupokea ujumbe huo wa sauti huku akiainisha kuwa umemkera kwani kuna maneno yanasikika akimponda yeye.
“Inaniuma sana, Nuh kuendelea kunidhalilisha kiasi hicho wakati ni mwanaume ambaye ninamheshimu, tunakoelekea uzalendo utanishinda.
“Nilipousikiliza ujumbe ule kwa mara ya kwanza sikuamini nilichokisikia. Pamoja na Wema kuonesha wazi msimamo wa kumkataa Nuh ila mimi naona kama fedheha kubwa kwangu kwani ninamheshimu sana.
“Watu wananiona mimi mkorofi lakini kama ningekuwa napenda kuweka kila jambo wazi, hakuna mtu angeendelea kunifikiria vibaya.“Siwezi tena kuendelea kuumiza moyo wangu kila kukicha,” alisema Shilole ambaye anatumikia kifungo cha Basata kwa kutojishughulisha na sanaa kwa takriban mwaka mmoja kwa kosa la kucheza nusu utupu jukwaani.

Nimekuwekea hii Audio Hapa:
Read More

Wednesday, July 29, 2015

Ukweli Kuhusu Wema Sepetu Kuhamia CHADEMA Kumfuata Lowassa


Meneja wa Wema Sepetu Amekanusha taarifa na picha zinazosambaa kwamba Wema Amejiunga na Chama cha Chadema Kumfuata Lowassa.....Hakuna Ukweli wowote.....Mkiona Habari hizo mzipuuzie....
BOFYA HAPA VIDEO MENEJA WAKE AKIFUNGUKA LIVE
Read More

Thursday, July 23, 2015

This is What RAY C Did in Her House That Has left MEN Salivating (VIDEO)


After confessing that she has always had a crush on President Uhuru Kenyatta for long, Tanzanian singer, Ray C, has decided to tempt “team mafisi” with her s3ductive dancing skills.

The aging singer decided to twerk vigorously in her house while dancing to a catchy African tune. Her crazy dancing skills have left men salivating and few can get enough of the s3xy moves.

Watch the action in the video below.
Read More