Sunday, October 11, 2015

Makonda awaita UKAWA vibaka, aitabiria CCM Ushindi 99%


Paul Makonda akizungumza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea mweza wa Urais kupitia CCM Bi Samia Suluhu Hassan,mkoani Mwanza.

Makonda amesema kuwa hakuna uchanguzi mwepesi na raisi  kwa  CCM  kama wa mwaka huu

Kasema  mwaka  huu  CCM  inapambana  na  Vibaka,Wachochezi  na  Mafisadi  waliokimbilia  UKAWA.


EmoticonEmoticon